Wednesday, February 29, 2012

FROM...Agrey Luvinga...TO....Joh 'Mweusi' Makini:

Agrey Luvinga


Sio siri "old is gold" Jo makini sikuizi unaniboa kinoma! naomba

kufunguka yalio moyoni mwangu nkiwa kama shabiki wako no 1.

Nkisikiliza nyimbo za joh makini akati anatoka zilikua tofauti na za

sasa ambazo amezidi kutumia flavor au lafudhi ya JZ, Mfano,"karibu

tena", "brandy", "wawiwo", "kilimanjoro" na nyingine fulanifulani iv

kibao alizo shirikishwa miaka hii ya karibuni.

Sikatai we ni msanii mkali na ni hip - hop disciple kama walivo

malegendari wengine hapa kwetu TZ na kusini mwa jangwa la sahara,

binafsi naboreka sana kuona umetoka kwenye style ulokua unatumia

mwanzoni lyk kwenye hit song za "Hao", "ufalme", "chochote popote",

"tomorrow", Niaje ni vipi", "muda", "tuliko toka ya geez mabovu" na

nyingine uloshirikishwa kipindi hicho mfano "sitarudi ya QJ, "Rafiki

ya Suma lee na albam yako ya kwanza kiujumla u was rly my JOH

MAKINI.kipindi kile ulikua haupewi tuzo ila kitaa kilikusoma ipasavyo

bt kwa sasa unaimba kwa colour sijui ndo unazitafuta tuzo za kili kwa

nguvu zote? i don know! ko kama hutamaindi irudie style yako ya kale

coz kama ni demu basi ulinifikisha ki..le....ni, usipuuzie huu waraka

coz huwezi jua labda sio mimi pekeangu ninae boreka hata yesu aliacha

kondoo 99 akaenda kumtafuta kondoo mo1 alie potea. I love hip-hop na

we ndo Ma favoriety mc wngu! so keep it real brada i lyK u. ITS ME NO

1 HIP-hop fans toka UDOM.

Hi ni kwa Roho safi kabisa sio dis!

No comments:

Post a Comment