
Mbunge wa Ilemela Highness Lema akiteta jambo.Uongozi wa Bodi ya Waendesha pikipiki jijini Mwanza leo umekutana na wadau wake, jeshi la polisi na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo mbunge wa Ilemela kwaajili ya kuzungumzia mstakabari mzima wa hali ya waendesha pikipiki.




No comments:
Post a Comment