Thursday, December 15, 2011

JAPO KWA PICHA MNATO (STILL PICTURE),TAZAMA SEHEMU YA VIPANDE VYA MOVIE YA MR.PRESIDENT ILIYOINGIA SOKONI MUDA SI MREFU SANA:


Ile picha iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu na wadau wengi wa tasnia sasa yaingia mtaani kwa kishindo na kutingisha soko mashabiki pateni nakala halisi muone kipaji cha Steve Nyerere serekali yetu ya chama cha mapinduzi bado tunahitaji misaada mingi sana kutoka kwenu tuna picha nyingi tunataka kucheza lakini tunakwamishwa na baadhi ya vifaa kama mahakama mavazi ya polisi n.k vijana sisi tumeisaidia serekali kwa kujiajili wenyewe tupeni sapoti basi.
Bungeni wabunge wakisikilza hotuba ya Rais wa nchi baada ya kuingia madarakani tanajitahidi sana vijana lakini tunavunjwa moyo na serekali yetu kwa mfano katika uzinduzi wa sinema hii uliofanika pale Serena hotel zamani Movin Pick alialikwa mgeni rasmi Rais mstaafu mueshimiwa Ally Hasan Mwinyi likini tulimkosa na badala yake alibidi aje Vicky Kamata mbunge wa viti maalumu kwa kweli tunakatishwa tamaa sana na viongozi wa nchi yetu
Mr President akiliutubia bunge, wadau hii si ya kuikosa inapatika nchi nzima Tanzania
Dada Heriety alicheza kama Spika wa Bunge alifanya vizuri sana.
Bunge ilo unaliona na ndio maana nakuambia vijana tuajitahidi sana.
Hapa ni Ikulu Rais akiwasikilza wawekezaji.
Hapa akiwa na viongozi wa dini baada ya kuapishwa.
Hapa akiwa na mkewe Mayasa Mrisho alicheza kama mama Salma naye alipatia sana wewe pata nakala yako utaamini nachokisema.
Msafara wa Mueshimiwa Rais.

Picha ya kumbukumbu.

No comments:

Post a Comment