Monday, December 23, 2013

MAMBO MAPYA KILA KUKICHA-KWENYE SEMINA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA ILIYOANDALIWA NA TCRA JIJINI MWANZA:

KARIBU MWAKA 2014-WELCOME THE YEAR 2014:

Mh. mkuu wa mkoa Mwanza, Eng. Evarist Ndikilo akitoa hotuba katika semina ya mawasiliano na teknolojia iliyoandaliwa na mamlaka ya mawasiliano katika ukumbi wa mikutano wa hapa jijini Mwanza.
Picha ya pamoja na mheshimiwa mkuu wa mkoa na wadau wengine wa mawasiliano waliohudhuria semina hiyo.
 Nikiwa na wawakilishi wenzangu kutoka taasisi moja tuliyokwenda kuiwakilisha.
Shavu shavuni...hahahaha.

No comments:

Post a Comment