Thursday, October 18, 2012

MAZISHI YA ALIYEKUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA MWANZA, LIBERATUS LYMO BARLOW, KIJIJINI KWAO KILEMAKYOU WILAYA YA MOSHI VIJIJINI MKOA WA KILIMANJARO :


Msafara wa uliobeba Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow ukiiingia kijijini kwao Kilema-Kyou,Wilaya ya Moshi Vijini Mkoani Kilimanjaro siku ya Jumatano, Oktoba 17, 2012 tayari kwa mazishi
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema akiingia kijijini kwa marehemu Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo BarlowKilema-Kyou,Wilaya ya Moshi Vijini Mkoani Kilimanjaro siku ya Jumatano, Oktoba 17, 2012 tayari kwa mazishi
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima akiwasili kwenye mazishi
Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Laordinas Gama akiwasili kwenye mazishi
Mwili wa Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow ukishushwa kwenye gari
Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow ukiwa umebebwa na maofisa wandamizi wa jeshi la polisi kuelekea kwenye mazishi
Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow.
Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema akitoa heshima zake za mwisho.
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silimaakitoa heshima zake za mwisho
Sehemu ya umati mkubwa wa wananchi ukitoa heshima zao za mwisho  kwa Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow
Mke wa Marehemu akilia kwa uchungu.
Mwili wa Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow ukishushwa kaburini
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema akiweka shada la maua kwenye kaburi la Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima akiwasili kwenye mazishi akiweka shada la maua kwenye kaburi la Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow
Askari wa Jeshi la polisi wakito heshima zao za Mwisho kwa Aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Lyimo Barlow.Picha zote na Mdau Ahmed Michuzi

No comments:

Post a Comment