Maadhimisho ya SIKU YA MLAJI DUNIANI ambayo 2012kitaifa yamefanyika jijini Mwanza katika viwanja vya Makongoro yamehitimishwa leo kwa maandamano yaliyofanyika kuanzia ofisi za Halmashauri ya jiji na kuishia eneo la tukio. Kauli mbiu ya mwaka huu ni FEDHA ZETU HAKI YETU (OUR MONEY OUR RIGHT).








No comments:
Post a Comment