

1.Tuzo ya kwanza ni PAM AWARD -BEST FEMALE TANZANIA
(PAM - Pearl of Africa Music Awards)
Halfa za kugawa tuzo hizo zilifanyika mwezi novemba 2011 jijini Kampala, Uganda. Zilishirikisha wasanii mbali mbali kutoka nchi za afrika.
Kwa upande wa wanaume alieshinda kutoka Tanzania ni
AY- BEST MALE TANZANIA
Burundi KIDUM alichukua BEST MALE na AZIZA -BEST FEMALE
Best male kwa Kenya ni JAGUAR na best female ni AMANI
Best male Rwanda ni ALPHA na best female ni MISS JOJO
Lady JD amechukua tuzo za PAM kama BEST FEMALE kutoka Tanzania kwa miaka mitano mfululizo
2006/2007/2008/2010 na 2011

BEST DIVA TANZANIA 2011 - LADY JADEE
Wasanii wengine walioshinda ni SHANEL - Best Diva Burundi
STL MWANGI -Best Diva Kenya

Wakati JULIANA KANYOMOZI alichukua -Afro Beat Diva.
No comments:
Post a Comment