Sunday, November 6, 2011

TAHADHARI;- KUNA PICHA MBAYA CHINI: YULE MLINZI ALIYEPIGWA SHOKA LA KICHWA NA MAJAMBAZI TABATA JIJINI DAR ES SALAAM AFARIKI DUNIA:

Itakumbukwa mnamo tarehe 30 October 2011, Caris Blogspot-The Caris Page iliweka habari juu ya mlinzi aliyepigwa shoka la kichwa na majambazi kwa lengo la kutaka kuiba nyumbani kwa bwana Joseph Mwakyusa, maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam. Habari tulizozipata leo hii ni kwamba mlinzi yule amefariki dunia.
  

Shoka likiwa limenasia kichwani.

Habari zilizoletwa na mdau wa blog hii hivi punde zinasema Bw Mussa mlinzi (pichani) ambaye alipigwa shoka kichwani nyumbani kwa Bw Joseph Mwakyusa huko Tabata jijini Dar es salaaam na Majambazi amefariki dunia asubuhi ya leo hospitali ya taifa ya muhimbili Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment