Thursday, August 25, 2011

MUIGIZAJI WA SIKU NYINGI WA NIGERIA RICHARD MOFE DAMIJO (PASTOR KENNY) ATIMIZA MIAKA 50 YA KUZALIWA KWAKE NA MIAKA 15 YA NDOA YAKE:

Muigizaji wa siku nyingi wa Nollywood, Nigeria, Richard Mofe Damijo a.k.a pastor Kenny amefanyiwa party na mkewe kwa kutimiza umri wa miaka 50 na kufurahia miaka 15 ya ndoa yao tangu walipooana, Richard alistaafu uigizaji filamu Nollywood tangu alipoingia katika siasa miaka kadhaa na sasa bado ni commissioner of culture and tourism katika Delta state huko Nigeria.

 Kama kawaida, keki hapo ziko mbili moja ya mchango wake katika movie Nollywood (Keki ya kushoto) na inayofuata ni ya birthday yake kama zinavyoonekana katika picha.

The lovely couple, Mr and Mrs Richard Mofe Damijo.

Mkongwe mwingine na mmoja wa wanzilishi wa Nollywood ambaye pia ndiye mke wa muigizaji mkongwe wa Nigeria, Olu Jacob, bi Joke Silvia nae akiwakilisha katika birthday party hiyo.

Daah, jamaa huyu bana kitambo sana huyu. Anaitwa Chidi Mokeme, nae alikuwepo katika party hiyo.

Akiwa na waigizaji wenzake, akiwemo nguli, Ramsey Nouah.

Hapa akiwa na wanasiasa wenzake.

No comments:

Post a Comment