Monday, July 1, 2013

KIDOGO TU..!

Inamaanisha kwamba....
Dishuaaa dishuaaa....!
Mgeni njoo mwenyeji apone...kwa mara ya kwanza nashuhudia barabara za Dar zinapigwa deki!
Mgeni njoo mwenyeji apone/ateseke.
Barabara za jiji la Dar es salaam zikisafishwa kukaribisha ujio wa Rais Barack Obama. Kaazi kweli kweli.
NIMEKAPENDA HAKA KA MSUKO 
Eti napendaga haka ka kamsuko tu, ka msuko tu. Weweeee..!

No comments:

Post a Comment