Friday, June 1, 2012

VITUKO VYA FACEBOOK:

1. Sasaaaa hawa jamaa walikuwa wanasikiliza mziki kwenye gari ukanoga wakaamua kupaki gari, wakashuka na kuanza kucheza? duh! tehe tehe tehe tehe kweli raha jipe menyewe.

2. Sasa hii miti nayo daah..., Kweli kila kiumbe kina haki ya msingi.


3. Bibi naye bado anahusudu hizi mambo..., daah. CHADEMA NINI..??


4. Sasa hii inamaanisha nini sijui, by the way, am completely out, i give no damn to politics.
 
5. Jamaa anatafutaka kazi kwa ushahidi wa hali ya juu sana, kachoka kunyanyaswa. Daah, jombaaa.


6. Watoto hawa bana sijui wamejuaje..? Kaazi kwenu wazazi kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa hapo nyumbani.

1 comment:

  1. Du hizi kali babu unauwwwwwaaaaaa mbavu sina mm kwa hawa watoto

    ReplyDelete