Sunday, October 9, 2011

WAZIRI MKUU, MZENGO PINDA, AKUTANA NA ALIYEKUWA KOCHA WA TIMU YA TAIFA, MARCIO MAXIMO NCHINI BRAZIL:

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu, Marcio  Maximo kwenye hoteli ya  JW MARRIOTT ya Rio deJaneiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 8, 2011.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu, Marcio  Maximo kwenye hoteli ya  JW MARRIOTT ya Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 8,2011 Katikati ni mkewe Tunu.

No comments:

Post a Comment