Monday, May 2, 2011

Sherehe za Mei Mosi Sehemu Mbalimbali Nchini Tanzania.

Kaimu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mecky Sadiki (Katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa wilaya ya ilala jukwaa kuu wakati akipokea maandamano ya wafanyakazi katika sherehe hizo - Dar es salaam.
 Askari wa jeshi la magereza wakiongoza maandamano hayo kuelekea ndani ya viwanja vya mnazi mmoja - Dar es salaam.
 Maandamano yakiendelea kuelekea viwanja vya mnazi mmoja - Dar es salaam.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahotubia wafanyakazi wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani mei mosi iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa michezo wa jamhuri - Morogoro.
Kwa picha na habari zaidi, Bonyeza hapa.

No comments:

Post a Comment