Wednesday, November 16, 2011

MFANYABIASHARA MAARUFU MJINI IRINGA, MAMA MBILINYI, AKIINGIZWA KWENYE GARI LA POLISI BAADA YA KUTOKEA ZENGWE LA MISUKULE:

Mfanyabiashara maarufu wa mjini Iringa, Mama Mbilinyi akiingizwa ndani ya gari la Polisi kabla ya wananchi wenye hasira kali hawajamjeruhi kwa tuhuma za kufuga misukule.

No comments:

Post a Comment