Tuesday, February 14, 2012

HAPO VIPI; HALLOOOOOW:

Hii sio lugha gongana........
.........bali ni lugha Pandana. 
 Kivuko cha Busisi nikiwa na Sapck tukielekea kwa shoo, Sengerema Mwanza.
 Spack kwa 4n call.

Yeyooo.
Nilipata fursa ya kutembelea mji mkongwe wa Tabora, nikapitia Tabora Boys na Tabora Girls secondary schools.
Just a little bit of a snapshot, kidogo tu....
Nilikuwa na braza wangu Mzanzibara, Vuai. Panaaama.
Tym ya jioni jioni hivi, nikiwa na D-tyming Malosha, kitu cha ufukwe wa Malaika Beach Resort-Mwanza.

Bado nakula upepo wa ufukweni, halloooow.
 Mambo ya Valentine's day.
 Mr & Mrs Nyenga, "Caris Blog Best Couple of the Valentine's". Habbbari yako bbbanna Nyenga.
Gonga menyu wewe mtoto Raph acha kuremba.
 Shabiki namba moja wa Liverpool, kijana Kefa.
Zamu ya kucheza kwaito.
Kwaiittoooooo, chezea kwaito wewe, allllaaaaa.

NB: Picha hizi ni za mchanganyiko wa matukio mbalimbali niliyowahi kushiriki kwa namna moja au nyingine nikiwa nimezikusanya kwa pamoja kwa lengo la kushare nanyi kumbukumbu tofauti tofauti kama sehemu ya kusheherekea siku hii ya Valentine. Happy Valentine's Day wapendwa.  

Caris hapa  'Ze DressCode'.

No comments:

Post a Comment